Tarehe : July 13, 2022
HOTUBA YA WAZIRI WA MADINI DKT. DOTO M. BITEKO AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI WAKATI AKIFAFANUA UTEKELEZAJI WA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23 TAREHE 12 JULAI, 2022 – MKOANI GEITA
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Ndugu Wanahabari,
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa wingi wa Rehema zake ambazo zimetuwezesha kukutana mahali hapa tukiwa wazima na kutuwezesha kukamilisha mwaka wa Fedha 2021/22 kwa mafanikio makubwa.
Ndugu Wanahabari,
Kwetu sisi Sekta ya Madini, Mwaka wa Fedha 2021/22 ulikuwa ni mwaka wa kazi na matokeo. Kwanza, tumeweza kukusanya Maduhuli ya Serikali ya shilingi bilioni 622.5 sawa na asilimia 96.
by: madini
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameshiriki Mkutano wa Pili wa Mawaziri wa Madini Afrika …
by: madini on: Oct. 7, 2022, 11:20 a.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
The Ministry of Minerals informs the public and mining sector stakeholders that Tanzania, in collab…
by: madini on: Jan. 24, 2024, 7:59 p.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.