Tarehe : Feb. 8, 2019, 1:18 p.m.
Katika jitihada za kuhamasisha shughuli za Uongezaji Thamani Madini Nchini, kuanzia tarehe 6 hadi 7 Februari, 2019, Wizara ya Madini ilikutana na baadhi ya Kampuni zinazokusudiwa kujenga Vinu vya Kuchenjua, Kuyeyusha na Kusafisha Madini nchini.
Lengo la wizara kukutana na kampuni hizo ilikuwa ni kuangalia uwezo wa kifedha, tekinolojia na Utayari wao. Kampuni hizo ni kutoka Ndani na Nje ya Nchi.
Serikali inahamasisha shughuli za uongezaji Thamani madini kufanyika nchini ili kuongeza pato, ajira na uhuishaji wa tekinolojia kwa wazawa.
by: madini
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…
by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…
by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.