[Latest Updates]: GST Yatoa Matokeo ya Utafiti Mirerani

Tarehe : June 22, 2024, 2:50 p.m.
left

Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imefanya wasilisho la matokeo ya majaribio ya utafiti wa Jiofizikia kwa njia ya kurusha ndege yaani "Airborne Geophysical Survey" kwa kutumia Ndege Nyuki (Drone) uliofanyika Mwezi Februari 2024 katika eneo la Mererani kwenye Kitalu C na D Mkoani Manyara. 

Aidha, uwasilishaji huu umefanyika mbele ya Kamishna wa Madini Dkt. AbdulRahman Mwanga na Mtendaji Mkuu wa GST Dkt. Mussa Budeda kwa nyakati tofauti ambapo uwasilishwaji wa Kitalu C ulifanyika Juni 21 na Kitalu D umefanyika leo Juni 22, 2024.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals