Tarehe : March 8, 2024, 1:21 p.m.
Siku ya Wanawake Duniani!
Leo, naungana na Watanzania wenzangu katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani.
Kutoka kwa wanasayansi wanaosimamia migodi hadi kwa wachimbaji wadogo wa madini wanaojituma kila siku kwa nguvu za mikono yao, wanawake wamethibitisha wanaweza kufanya kazi kubwa anazoweza kufanya mwanaume.
Wizara ya Madini inatambua mchango wa Wanawake katika kufanikisha malengo ya sekta hii.
Pamoja, tunaweza kujenga ulimwengu ambapo sauti ya kila mwanamke inasikika na kila ndoto inawezekana.
Tuendelee kuzungumzia mafanikio ya wanawake ili ziwe hadithi za kuwafundisha ujasiri watoto wetu.
by: madini
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…
by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…
by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.