Tarehe : June 23, 2023, 10:09 a.m.
Wizara ya Madini inaungana na Wizara nyingine Kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma inayofanyika kila tarehe 16-23 Juni ya kila Mwaka ambayo hubebwa na Kaulimbiu ya maadhimisho hayo.
Kaulimbiu ya Mwaka 2023 ni
Kufanikiwa kwa eneo huru la biashara Barani Afrika ( Acfta) kunahitaji Usimamizi wa Utumishi wa Umma wenye Mtazamo wa Kikanda.
Kufuatia maadhimisho hayo, watumishi wanasisitizwa kuzingatia maadili katika utumishi wa umma, utendaji ulio bora na kufanya vikao vya kujadili masuala mbalimbali ya utendaji wa Idara, Vitengo na Wizara kwa ujumla, kutoa maoni na kupokea ushauri.
Sambamba na maadhimisho hayo, Wizara inafanya maonesho ya shughuli mbalimbali zinazohusu Sekta ya Madini, Makao Makuu ya Wizara, Mtumba.
by: madini
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…
by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…
by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.