[Latest Updates]: Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Mwaka 2023

Tarehe : June 23, 2023, 10:09 a.m.
left

Wizara ya Madini inaungana na Wizara nyingine  Kuadhimisha  Wiki ya Utumishi wa Umma inayofanyika kila tarehe 16-23 Juni ya kila Mwaka ambayo hubebwa  na Kaulimbiu ya maadhimisho hayo.

Kaulimbiu ya Mwaka 2023 ni  
Kufanikiwa kwa eneo huru la biashara Barani Afrika ( Acfta) kunahitaji Usimamizi wa Utumishi wa Umma wenye Mtazamo wa Kikanda.

Kufuatia maadhimisho hayo, watumishi wanasisitizwa kuzingatia maadili katika utumishi wa umma, utendaji ulio bora na kufanya vikao vya kujadili masuala mbalimbali ya utendaji wa Idara, Vitengo na Wizara kwa ujumla, kutoa maoni na kupokea ushauri.

Sambamba na maadhimisho hayo, Wizara inafanya maonesho ya shughuli mbalimbali zinazohusu Sekta ya Madini, Makao Makuu ya Wizara, Mtumba.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals