[Latest Updates]: Waziri Biteko Apongeza Utendaji Kazi wa Tume ya Madini

Tarehe : Sept. 21, 2020, 11 a.m.
left

Waziri wa Madini, Doto Biteko amepongeza  utendaji kazi wa Tume ya Madini uliopelekea kuvuka kwa lengo la ukusanyaji wa maduhuli kwa mwaka wa fedha 2019 – 2020.

Waziri Biteko ametoa pongezi hizo leo tarehe 21 Septemba, 2020 kwenye ziara yake katika banda la Tume ya Madini kwenye Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini yanayoendelea katika Uwanja wa Kituo cha Uwekezaji cha Bomba Mbili mjini Geita.

“Nashukuru na kuwapongeza sana kwa kazi nzuri mnayofanya katika kuhakikisha Serikali inavuka lengo kwenye ukusanyaji wa maduhuli,” amesema Waziri Biteko.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals