[Latest News]: FOMU YA KUOMBA NAFASI YA MAFUNZO YA UONGEZAJI THAMANI VITO - TGC

Tarehe : May 29, 2024, 1:01 p.m.
left

TAFADHALI PAKUA FOMU HAPO CHINI.

 

NAMNA YA KUOMBA:

1. Fomu za Maombi:

   - Zapatikana katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), Wizara ya Madini na Ofisi zote za Madini au tembelea tovuti za [www.tgc.ac.tz](http://www.tgc.ac.tz) na [www.madini.go.tz](http://www.madini.go.tz).

2. Malipo ya Ada ya Maombi:

   - Tsh 10,000/- kupitia namba ya kumbukumbu kutoka Kituoni. Malipo yanaweza kufanywa katika matawi ya benki (NMB au CRDB).

3. Kutuma Maombi:

   - Tuma maombi yako pamoja na viambatanisho kwa: 

     Mratibu, Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), 

     S.L.P 119, 

     ARUSHA.

4. Kuomba Mkopo:

   - Wanafunzi watakaodahiliwa ngazi ya Ordinary Diploma wanaweza kuomba mkopo kupitia [www.heslb.go.tz](http://www.heslb.go.tz) na [www.nactvet.go.tz](http://www.nactvet.go.tz).

---

Kwa Mawasiliano Zaidi:

- Simu: 0737816121

- Barua pepe: tgc@madini.go.tz

Kumbuka: Nafasi ni chache, madarasa yanachukua wanafunzi wachache. Wanawake watapewa kipaumbele.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals