[Latest Updates]: Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Awatembelea na Kutoa pole kwa Wananchi Walioathiriwa na Maporomoko ya Tope na Mafuriko Wilaya ya Hanang Mkoa wa Manyara.

Tarehe : Dec. 12, 2023, 2:48 p.m.
left

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo leo Desemba 12, 2023 amewatembelea na kutoa pole kwa Wananchi walioathiriwa na maporomoko ya tope na mafuriko katika Mji  wa Katesh  Wilaya  ya Hanang Mkoa wa Manyara.

Katika ziara hiyo, amepokelewa na Uongozi wa Mkoa ukiwakilishwa na Bi. Caroline Mthapula na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hanang Bi. Rose Kamili pamoja na timu ya Wataalam wa Wizara ya Madini ambao wamekuwa  kwenye eneo hilo  kutafiti chanzo cha tatizo hilo na kutoa taarifa ya kitaalam.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals