[Latest Updates]: Wataalam Madini Kujengewa Uwezo Utafiti wa Madini Nchini India

Tarehe : Sept. 3, 2024, 3:53 p.m.
left

# Ni matokeo ya ziara ya Rais Samia nchini humo.

Dar es Salaam

Timu ya Wataalam kutoka Wizara ya Madini, Taasisi zake pamoja na Wataalam kutoka Vyuo Vikuu vya Dar es Salaam na Dodoma wanaotarajia kushiriki mafunzo ya muda mfupi  katika Taasisi ya Jiolojia ya  nchini India  waliagwa rasmi Septemba 2, 2024 katika Ofisi za Ubalozi wa India nchini.

Wataalam hao wanatarajiwa kupata mafunzo ya kujengewa uwezo katika  masuala yanayohusu shughuli za utafutaji madini.

Ushiriki wa wataalam katika mafunzo hayo ni matokeo ya ushirikiano kati ya Tanzania na India ambapo  yalichagizwa zaidi kufuatia ziara aliyoifanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Hassan nchini humo.

#InvestInTanzaniaMiningSector
 #Vision2030: MadininiMaisha&Utajiri

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals