Tarehe : Sept. 3, 2024, 3:53 p.m.
# Ni matokeo ya ziara ya Rais Samia nchini humo.
Dar es Salaam
Timu ya Wataalam kutoka Wizara ya Madini, Taasisi zake pamoja na Wataalam kutoka Vyuo Vikuu vya Dar es Salaam na Dodoma wanaotarajia kushiriki mafunzo ya muda mfupi katika Taasisi ya Jiolojia ya nchini India waliagwa rasmi Septemba 2, 2024 katika Ofisi za Ubalozi wa India nchini.
Wataalam hao wanatarajiwa kupata mafunzo ya kujengewa uwezo katika masuala yanayohusu shughuli za utafutaji madini.
Ushiriki wa wataalam katika mafunzo hayo ni matokeo ya ushirikiano kati ya Tanzania na India ambapo yalichagizwa zaidi kufuatia ziara aliyoifanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Hassan nchini humo.
#InvestInTanzaniaMiningSector
#Vision2030: MadininiMaisha&Utajiri
by: madini
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…
by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…
by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.