[Latest Updates]: Naibu Waziri wa Madini, Doto Biteko na Mkuu wa Mkoa wa Mara wakutana kujadili taarifa ya uchunguzi wa Trust Fund

Tarehe : Oct. 1, 2018, 7:45 a.m.
left

Na Greyson Mwase,

Leo tarehe 20 Septemba, 2018 mjini Musoma mkoani Mara, Naibu Waziri wa Madini, Doto Biteko na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima wamekutana na  Wakuu wa Wilaya, Kamati ya Ulinzi ya Mkoa wa Mara, Watendaji kutoka Wizara ya Madini kwa ajili ya kujadili taarifa iliyowasilishwa na Kamati iliyoundwa kwa ajili ya kuchunguza matumizi ya mfuko wa North Mara Trust Fund kabla ya kutoa maelekezo ya Serikali.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals