[Latest Updates]: Makatibu Wakuu Madini, Viwanda Watembelea TEMDO

Tarehe : Dec. 20, 2023, 8:57 a.m.
left

MAKATIBU WAKUU MADINI, VIWANDA WATEMBELEA TEMDO

Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah  Desemba 20, 2023 walitembelea Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO ).

Ziara hiyo ya TEMDO iliyofanyika Mkoani Arusha ililenga kujifunza na kuangalia mitambo mbalimbali inayotengenezwa na TEMDO kwa ubunifu na gharama nafuu ikiwemo vifaa tiba vinavookoa fedha nyingi kwa kuagiza vifaa hivyo nje ya nchi.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals