Tarehe : June 23, 2024, 2:55 p.m.
Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde akiwa na watendaji wa Wizara ya Madini na Viongozi wa Nkandi Gold Mine wa Wilayani Kahama-Shinyanga kwenye kikao cha usuluhishi baina ya wamiliki wa duara Na. 7 na 8.
Katika kikao hicho Waziri Mavunde amemuagiza Kamishna wa Madini Dkt. Abdulrahman Mwanga kutuma Timu kukagua usalama wa shughuli za uchimbaji katika maduara hayo kabla hajatoa uamuzi wa mwisho wa kutatua mgogoro wa muingiliano uliopo baina ya wamiliki wa maduara hayo.
by: madini
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…
by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…
by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.