[Latest News]: Waziri Mavunde Anogesha Bonanza la Tume ya Madini

Tarehe : July 6, 2024, 10:11 a.m.
left

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Dkt. Steven Kiruswa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba wameongoza watumishi wa Tume ya Madini kwenye Bonanza la Michezo lililofanyika katika Viwanja vya Kilimani jijini Dodoma.

Bonanza hilo lenye lengo la kuimarisha umoja kwa watumishi wa Tume ya Madini limeshirikisha mazoezi ya viungo, mpira wa miguu,  kuvuta kamba na kukimbia na magunia ambapo washindi wamekabidhiwa tuzo mbalimbali.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals